Join Login With Google
Preloader
Sawa lyrics by jay melody
Spread the love

Jay Melody Lyrics

Read the official lyrics to ‘Sawa’ by Tanzanian singer Jay Melody. The song features an infectious melody and melodic lyrics, as well as a catchy chorus. It is the perfect summer song and is sure to be a hit with fans of afro-pop and tropical music.

Sawa Cover

Jay Melody – Sawa Lyrics

Jay once againMapenzi tuNimepagawa hamjuiYe kila mara ananifanya silaliNamwaza yeye tuAnayeweka roho yangu juuAna utoto tuSema uzuri ananipaga asaliMi nailamba tu

Na penzi letu ni kama sunnaNa ulinzi kama sumaHata akinunaBado unapendeza mchumbaMkimuona ananichunaMsinionee hurumaCha mtu huliwa na mtuKutu yake chuma

Basi mwambieni nampendaSawa, sawa, sawaAh mwambie mi nampendaYes (Sawa) Right (Sawa) Sawa

Huo utamu hasa nikiingiaAkifungua gate naingiaAkipanua neti naingiaNa wala sikwepeshi naingiaSina akili ya kuchange ideaHapo hapo nimemng’ang’aniaHapo hapo nimeshikiliaNa visokorokwinyo mtaumia, naahaaKwa hakika haya mapenziKusema kweli, yataniuaKwa hakika haya mapenziKusema kweli, yataniua

Na penzi letu ni kama sunnaNa ulinzi kama sumaHata akinunaBado unapendeza mchumbaMkimuona ananichunaMsinionee hurumaCha mtu huliwa na mtuKutu yake chuma

Basi mwambieni nampendaSawa, sawa, sawaAh mwambie mi nampendaYes (Sawa) Right (Sawa) Sawa

Read Other Latest Music Lyrics Here

Get Fresh updates as they drop via Twitter and Facebook
The post Sawa Lyrics by Jay Melody appeared first on ovideos.ng.

Join Login With Google
OPAY PAYSTACK..POST AD.. PAYPAL CASH
NEW! ORDER DELICIOUS FOOD FROM
Benin ... Lagos ... Uyo... PH... Kaduna